Methali 18:6 - Swahili Revised Union Version Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu. Biblia Habari Njema - BHND Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu. Neno: Bibilia Takatifu Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo. Neno: Maandiko Matakatifu Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo. BIBLIA KISWAHILI Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo. |
Katika kinywa cha mpumbavu mna fimbo ya kiburi, Bali midomo ya wenye hekima huwahifadhi.
Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.
Jiwe ni zito, na mchanga hulemea; Lakini ghadhabu ya mpumbavu ni nzito kuliko hivi vyote viwili.