Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:14 - Swahili Revised Union Version

14 Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kuanzisha ugomvi ni kama kufanya ufa kwenye bwawa; achana na ugomvi kabla haujafurika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kuanzisha ugomvi ni kama kufanya ufa kwenye bwawa; achana na ugomvi kabla haujafurika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kuanzisha ugomvi ni kama kufanya ufa kwenye bwawa; achana na ugomvi kabla haujafurika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji; kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano hayajaanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji; kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano hayajaanza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika.

Tazama sura Nakili




Methali 17:14
28 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, angalia, watu wote wa Israeli wakamjia mfalme wakamwambia mfalme, Kwa nini ndugu zetu, watu wa Yuda wamekuiba, na kumvusha Yordani mfalme, na jamaa yake, na watu wote wa Daudi pamoja naye?


Abiya na watu wake wakawapiga mapigo makuu; hata wakaanguka wameuawa wa Israeli elfu mia tano, watu wateule.


Peka mwana wa Remalia akawaua katika Yuda siku moja watu elfu mia moja na ishirini, mashujaa wote; kwa sababu walikuwa wamemwacha BWANA, Mungu wa baba zao.


Kiburi huleta mashindano tu; Bali hekima hukaa nao wanaoshauriana.


Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.


Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.


Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.


Apendaye ugomvi hupenda dhambi; Auinuaye sana mlango wake hutafuta uharibifu.


Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.


Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.


Usitoke nje kwa haraka ili kuyashindania; Usije ukakosa kujua la kutenda hatimaye, Mwenzako atakapokuwa amekuaibisha.


Kama makaa juu ya makaa yanayowaka, Na kama kuni juu ya moto; Ndivyo mtu mgomvi achocheavyo uadui.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Ikiwezekana, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.


Tena mjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe, kama tulivyowaagiza;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo