Methali 17:14 - Swahili Revised Union Version14 Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Kuanzisha ugomvi ni kama kufanya ufa kwenye bwawa; achana na ugomvi kabla haujafurika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Kuanzisha ugomvi ni kama kufanya ufa kwenye bwawa; achana na ugomvi kabla haujafurika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Kuanzisha ugomvi ni kama kufanya ufa kwenye bwawa; achana na ugomvi kabla haujafurika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji; kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano hayajaanza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji; kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano hayajaanza. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika. Tazama sura |