Methali 17:15 - Swahili Revised Union Version15 Yeye asemaye kwamba asiye haki ana haki; naye asemaye kwamba mwenye haki hana haki; Hao wote wawili ni chukizo kwa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Kumsamehe mwenye hatia na kumwadhibu asiye na hatia yote mawili ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Kumsamehe mwenye hatia na kumwadhibu asiye na hatia yote mawili ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Kumsamehe mwenye hatia na kumwadhibu asiye na hatia yote mawili ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Yeye asemaye kuwa asiye na haki ana haki, naye asemaye kuwa mwenye haki hana haki: Mwenyezi Mungu huwachukia sana wote wawili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Yeye asemaye kuwa asiye na haki ana haki, naye asemaye kuwa mwenye haki hana haki: bwana huwachukia sana wote wawili. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Yeye asemaye kwamba asiye haki ana haki; naye asemaye kwamba mwenye haki hana haki; Hao wote wawili ni chukizo kwa BWANA. Tazama sura |