Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:13 - Swahili Revised Union Version

13 Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mwenye kulipiza mema kwa mabaya, mabaya hayataondoka nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mwenye kulipiza mema kwa mabaya, mabaya hayataondoka nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mwenye kulipiza mema kwa mabaya, mabaya hayataondoka nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema, kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema, kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili




Methali 17:13
18 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako, kwa sababu umenidharau, ukamtwaa mkewe Uria, Mhiti, kuwa mke wako.


Kisha nitaifanya nyumba yako iwe kama nyumba ya Yeroboamu mwana wa Nebati, na kama nyumba ya Baasha mwana wa Ahiya, kwa ajili ya chukizo ulilonichukiza, hata kunighadhibisha, ukawakosesha Israeli.


Wananilipa mabaya badala ya mema, Hata nafsi yangu ikaingia ukiwa.


Naam, wakilipa mabaya kwa mema, Huwa adui zangu kwa kuwa nilifuata lililo jema.


Uovu huwafuatia wenye dhambi; Bali mwenye haki atalipwa mema.


Watu wote wakajibu wakasema, Damu yake na iwe juu yetu, na juu ya watoto wetu.


Akavitupa vile vipande vya fedha katika hekalu, akaondoka; akaenda, akajinyonga.


Msimlipe mtu ovu kwa ovu. Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.


Angalieni mtu awaye yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


watu wasiolipa baya kwa baya, au laumu kwa laumu; bali wenye kubariki; kwa sababu hayo ndiyo mliyoitiwa ili mrithi baraka.


Naye Yonathani akamsifu Daudi kwa Sauli, babaye akamwambia, Mfalme asikose juu ya mtumishi wake, yaani, juu ya Daudi kwa maana yeye hakukosa juu yako, tena matendo yake kwako yamekuwa mema sana.


Akamwambia Daudi, Wewe u mwenye haki kuliko mimi; maana wewe umenitendea mema, nami nimekutenda mabaya.


Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu chochote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo