Methali 18:6 - Swahili Revised Union Version6 Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo. Tazama sura |