Methali 14:16 - Swahili Revised Union Version16 Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mwenye hekima ni mwangalifu na huepa uovu, lakini mpumbavu hajizuii wala hana uangalifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mwenye hekima ni mwangalifu na huepa uovu, lakini mpumbavu hajizuii wala hana uangalifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mwenye hekima ni mwangalifu na huepa uovu, lakini mpumbavu hajizuii wala hana uangalifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Mtu mwenye hekima humcha Mwenyezi Mungu na kuepuka mabaya, bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na uzembe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Mtu mwenye hekima humcha bwana na kuepuka mabaya, bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na uzembe. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Mwenye hekima hujihadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali. Tazama sura |