Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:17 - Swahili Revised Union Version

17 Yeye aonaye hasira upesi atatenda kwa ujinga; Na mtu mwenye hila mbaya huzirwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Mwenye kuwaka hasira haraka hutenda kipumbavu, lakini mwenye busara ana uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Mwenye kuwaka hasira haraka hutenda kipumbavu, lakini mwenye busara ana uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Mwenye kuwaka hasira haraka hutenda kipumbavu, lakini mwenye busara ana uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu, naye mtu wa hila huchukiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu, naye mtu wa hila huchukiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Yeye aonaye hasira upesi atatenda kwa ujinga; Na mtu mwenye hila mbaya huzirwa.

Tazama sura Nakili




Methali 14:17
18 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora kuliko maji yote ya Israeli? Je! Siwezi kujiosha ndani yake, na kuwa safi? Akageuka, akaondoka kwa hasira.


Akaona haitoshi kumtia mikono Mordekai peke yake; maana wamemjulisha kabila lake Mordekai; kwa hiyo Hamani alitaka kuwaangamiza Wayahudi wote waliokuwa wakikaa katika ufalme wote mzima wa Ahasuero, yaani, watu wake Mordekai.


Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Mtu mwema atapata upendeleo kwa BWANA; Bali mtu wa hila atahukumiwa naye.


Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali.


Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa.


Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.


Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.


Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira nyingi; Wala usiende na mtu wa ghadhabu nyingi;


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;


Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.


Tena vyombo vyake mlaghai ni vibaya; hutunga hila mbaya, ili kuwaangamiza wanyonge kwa maneno ya uongo, mtu mhitaji ajaposema maneno yenye haki.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo