Methali 14:17 - Swahili Revised Union Version17 Yeye aonaye hasira upesi atatenda kwa ujinga; Na mtu mwenye hila mbaya huzirwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Mwenye kuwaka hasira haraka hutenda kipumbavu, lakini mwenye busara ana uvumilivu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Mwenye kuwaka hasira haraka hutenda kipumbavu, lakini mwenye busara ana uvumilivu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Mwenye kuwaka hasira haraka hutenda kipumbavu, lakini mwenye busara ana uvumilivu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu, naye mtu wa hila huchukiwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu, naye mtu wa hila huchukiwa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Yeye aonaye hasira upesi atatenda kwa ujinga; Na mtu mwenye hila mbaya huzirwa. Tazama sura |