Methali 14:18 - Swahili Revised Union Version18 Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Wajinga hurithi upumbavu, lakini wenye busara hutuzwa taji ya maarifa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Wajinga hurithi upumbavu, lakini wenye busara hutuzwa taji ya maarifa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Wajinga hurithi upumbavu, lakini wenye busara hutuzwa taji ya maarifa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Mjinga hurithi upumbavu, bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani kama taji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Mjinga hurithi upumbavu, bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani kama taji. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa. Tazama sura |
Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya.