Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:15 - Swahili Revised Union Version

15 Mjinga huamini kila neno; Bali mwenye busara huangalia sana aendavyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mjinga huamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye busara huwa na tahadhari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mjinga huamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye busara huwa na tahadhari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mjinga huamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye busara huwa na tahadhari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mtu mjinga huamini kila kitu, bali mwenye busara hufikiria hatua zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mtu mjinga huamini kila kitu, bali mwenye busara hufikiria hatua zake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Mjinga huamini kila neno; Bali mwenye busara huangalia sana aendavyo.

Tazama sura Nakili




Methali 14:15
16 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akamwambia yule kijana aliyempa habari, Umejuaje ya kuwa Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa?


Naye Bathsheba akasema, Vema; nitasema na mfalme kwa ajili yako.


Nao wakaniletea mwito huo mara nne; nikawajibu maneno yale yale.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali.


Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.


Mtenda mabaya husikiliza midomo ya uovu; Na mwongo hutega sikio lake kusikiliza ulimi wa madhara.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Ulisawazishe pito la mguu wako, Na njia zako zote zithibitike;


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


mtu huyu alikuwa pamoja na mtawala Sergio Paulo, mtu mwenye akili. Yeye mtawala akawaita Barnaba na Sauli waje kwake, akataka kulisikia neno la Mungu.


ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu.


Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.


Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zipimeni hizo roho, kama zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo