Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 19:19 - Swahili Revised Union Version

19 Mtu wa hasira nyingi atachukua adhabu yake, Maana ujapomwokoa huna budi kufanya tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mtu wa hasira kali lazima apate adhabu; ukimwachia mara moja itakubidi kumwachia tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mtu wa hasira kali lazima apate adhabu; ukimwachia mara moja itakubidi kumwachia tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mtu wa hasira kali lazima apate adhabu; ukimwachia mara moja itakubidi kumwachia tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima atapata adhabu yake, kama utamwokoa, itakubidi kufanya hivyo tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima atapata adhabu yake, kama utamwokoa, itakubidi kufanya hivyo tena.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Mtu wa hasira nyingi atachukua adhabu yake, Maana ujapomwokoa huna budi kufanya tena.

Tazama sura Nakili




Methali 19:19
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.


Mrudi mwanao, kwa maana liko tumaini; Wala usiikaze nafsi yako kwa kuangamia kwake.


Sikiliza mashauri, ukapokee mafundisho, Upate kuwa na hekima siku zako za mwisho.


Asiyetawala roho yake Ni mfano wa mji uliobomolewa, usio na kuta.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo