Methali 19:18 - Swahili Revised Union Version18 Mrudi mwanao, kwa maana liko tumaini; Wala usiikaze nafsi yako kwa kuangamia kwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mrudi mwanao kungali bado na tumaini, lakini usimwadhibu kiasi cha kumwangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mrudi mwanao kungali bado na tumaini, lakini usimwadhibu kiasi cha kumwangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mrudi mwanao kungali bado na tumaini, lakini usimwadhibu kiasi cha kumwangamiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Mkanye mwanao, kwa maana kufanya hivyo kuna tumaini, usiwe mshirika katika mauti yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Mrudi mwanao, kwa maana katika hiyo kuna tumaini, usiwe mshirika katika mauti yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Mrudi mwanao, kwa maana liko tumaini; Wala usiikaze nafsi yako kwa kuangamia kwake. Tazama sura |