Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 22:10 - Swahili Revised Union Version

10 Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.

Tazama sura Nakili




Methali 22:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwana mmoja wa Yoyada, mwana wa Eliashibu, kuhani mkuu, alikuwa mkwewe Sanbalati, Mhoroni, basi nikamfukuza kwangu.


Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia.


Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.


Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.


Na asipowasikiliza wao, liambie kanisa; na asipolisikiliza kanisa pia, na awe kwako kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru.


Lakini hao walio nje Mungu atawahukumu. Ninyi mwondoeni yule mbaya miongoni mwenu.


Basi hapo watu wa Israeli walipoona ya kuwa Abimeleki amekufa, wakaondoka wakaenda kila mtu mahali pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo