Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 22:9 - Swahili Revised Union Version

9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.

Tazama sura Nakili




Methali 22:9
29 Marejeleo ya Msalaba  

Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.


Nafsi ya mtu mkarimu itastawishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.


Atafutaye mema kwa bidii hutafuta fadhili; Atafutaye madhara, hayo yatamjia.


Amdharauye mwenzake afanya dhambi; Bali amhurumiaye maskini ana heri.


Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.


Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.


Aibaye mali ya babaye au mamaye, na kusema, Si kosa; Mwana huyo ni rafiki wa mtu mharibifu.


Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu; Bali afichaye macho yake atakuwa na laana nyingi.


Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?


wizi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.


Bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu,


Katika mambo yote nimewaonesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, jinsi alivyosema mwenyewe, Ni heri kutoa kuliko kupokea.


Mwanamke kati yenu aliye mwororo na laini, ambaye hangehatarisha kuweka wayo wa mguu wake nchi kwa umalidadi na ulaini, jicho lake huyu litakuwa ovu juu ya mume wa kifuani mwake, na juu ya mwanawe, na juu ya binti yake,


Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.


Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia.


Mkaribishane ninyi kwa ninyi, pasipo kunung'unika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo