Methali 22:9 - Swahili Revised Union Version9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake. Tazama sura |