Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 22:8 - Swahili Revised Union Version

8 Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Apandaye dhuluma atavuna janga; uwezo wake wa kutenda mabaya utavunjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Apandaye dhuluma atavuna janga; uwezo wake wa kutenda mabaya utavunjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Apandaye dhuluma atavuna janga; uwezo wake wa kutenda mabaya utavunjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Yeye aupandaye uovu huvuna taabu, nayo fimbo ya ghadhabu yake itaangamizwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Yeye aupandaye uovu huvuna taabu, nayo fimbo ya ghadhabu yake itaangamizwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.

Tazama sura Nakili




Methali 22:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kama mimi nilivyoona, hao walimao maovu, Na kupanda madhara, huvuna yayo hayo.


Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya nchi ya wenye haki; Ili wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu.


Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Katika kinywa cha mpumbavu mna fimbo ya kiburi, Bali midomo ya wenye hekima huwahifadhi.


Maana bado kitambo kidogo tu ghadhabu itakoma, na hasira yangu itageukia kuwaangamiza.


Ole wake Ashuru! Fimbo ya hasira yangu, ambaye gongo lililo mkononi mwake ni ghadhabu yangu!


Msifurahi, Enyi Wafilisti wote, Kwa sababu fimbo ile iliyokupiga imevunjika; Maana katika shina la nyoka atatoka fira, Na uzao wake ni joka la moto arukaye Sef 2:4-7; Zek 9:5-7


Maana kwa sauti ya BWANA, Mwashuri atavunjikavunjika, yeye apigaye kwa bakora.


Kwa maana umeivunja nira ya mzigo wake, na gongo la bega lake, na fimbo yake yeye aliyemwonea, kama katika siku ya Midiani.


Mmelima dhuluma, mmevuna uovu; mmekula matunda ya uongo; kwa maana uliitumainia njia yako, na wingi wa mashujaa wako.


Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo