Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:6 - Swahili Revised Union Version

Katika nyumba ya mwenye haki mna akiba nyingi; Bali mapato ya mtu mbaya huwa taabu tu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyumbani mwa mwadilifu mna wingi wa mali, lakini mapato ya waovu huishia na balaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyumbani mwa mwadilifu mna wingi wa mali, lakini mapato ya waovu huishia na balaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyumbani mwa mwadilifu mna wingi wa mali, lakini mapato ya waovu huishia na balaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nyumba ya mwenye haki ina hazina kubwa, bali mapato ya waovu huwaletea taabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nyumba ya mwenye haki ina hazina kubwa, bali mapato ya waovu huwaletea taabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika nyumba ya mwenye haki mna akiba nyingi; Bali mapato ya mtu mbaya huwa taabu tu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:6
16 Marejeleo ya Msalaba  

Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yadumu milele.


Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.


Baraka ya BWANA hutajirisha, Wala hachanganyi huzuni nayo.


Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.


Kuwa na mali chache pamoja na kumcha BWANA; Ni bora kuliko mali nyingi pamoja na taabu.


Mpumbavu hudharau kurudiwa na babaye; Bali yeye aangaliaye maonyo hupata busara.


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Afadhali mali kidogo pamoja na haki, Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.


Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.


Laana ya BWANA i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki.


Niwarithishe mali wale wanipendao, Tena nipate kuzijaza hazina zao.


Heri konzi moja pamoja na utulivu, Kuliko konzi mbili pamoja na taabu; na kufukuza upepo.


akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri; kwa kuwa aliyatazamia hayo malipo.