Methali 3:33 - Swahili Revised Union Version33 Laana ya BWANA i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Mwenyezi-Mungu huapiza nyumba za waovu, lakini huyabariki makao ya waadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Mwenyezi-Mungu huapiza nyumba za waovu, lakini huyabariki makao ya waadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Mwenyezi-Mungu huapiza nyumba za waovu, lakini huyabariki makao ya waadilifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Laana ya Mwenyezi Mungu i juu ya nyumba ya mwovu, lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Laana ya bwana i juu ya nyumba ya mwovu, lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI33 Laana ya BWANA i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki. Tazama sura |