Methali 21:20 - Swahili Revised Union Version20 Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Nyumbani kwa mwenye busara mna hazina za thamani, lakini mpumbavu huponda mali yake yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Nyumbani kwa mwenye busara mna hazina za thamani, lakini mpumbavu huponda mali yake yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Nyumbani kwa mwenye busara mna hazina za thamani, lakini mpumbavu huponda mali yake yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Katika nyumba ya mwenye hekima kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo navyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Katika nyumba ya mwenye hekima kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo navyo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza. Tazama sura |