Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:21 - Swahili Revised Union Version

21 Aandamaye haki na fadhili, Ataona uhai na haki na heshima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Anayepania uadilifu na huruma, ataishi maisha marefu na kuheshimiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Anayepania uadilifu na huruma, ataishi maisha marefu na kuheshimiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Anayepania uadilifu na huruma, ataishi maisha marefu na kuheshimiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Yeye afuatiaye haki na upendo hupata uzima, mafanikio na heshima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Yeye afuatiaye haki na upendo hupata uzima, mafanikio na heshima.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Aandamaye haki na fadhili, Ataona uhai na haki na heshima.

Tazama sura Nakili




Methali 21:21
19 Marejeleo ya Msalaba  

Nuru huwaangaza wenye adili gizani; Ana fadhili na huruma na haki.


Kazi yake mwenye haki huuelekea uzima; Mazao ya wabaya huielekea dhambi.


Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.


Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali humpenda mtu afuatiaye wema.


Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA Ni utajiri, na heshima, nayo ni uzima.


Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.


Nisikilizeni, ninyi mnaoifuatia haki; ninyi mnaomtafuta BWANA; uangalieni mwamba ule ambao mlitolewa kwa kuchongwa, na tundu la shimo ambalo mlitolewa kwa kuchimbuliwa.


Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua BWANA; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.


Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa.


Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.


Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.


Si kwamba nimekwisha kufika, au nimekwisha kuwa mkamilifu; la! Bali nakaza mwendo ili nipate kulishika lile ambalo kwa ajili yake nimeshikwa na Kristo Yesu.


jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;


Bali wewe, mtu wa Mungu, uyakimbie mambo hayo; ukafuate haki, utauwa, imani, upendo, subira, upole.


Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;


ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo