Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 12:7 - Swahili Revised Union Version

Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 12:7
20 Marejeleo ya Msalaba  

Na nyumba yako, na ufalme wako, vitathibitishwa milele mbele yako. Nacho kiti chako kitaimarishwa milele.


Jina lako na litukuzwe milele, kwa kusema, BWANA wa majeshi ndiye Mungu juu ya Israeli; na nyumba ya mtumishi wako, Daudi, itaimarika mbele zako.


Mfalme akaamuru ifanyike vivyo hivyo, mbiu ikapigwa huko Susa, wakawatundika wale wana kumi wa Hamani.


Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Kwa sababu hiyo yeye huyatafiti matendo yao; Naye huwapindua usiku, wakaangamia.


Maana bado kitambo kidogo asiye haki hatakuwapo, Utapaangalia mahali pake wala hatakuwapo.


Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.


Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka.


Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.


Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.


Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa.


BWANA ataing'oa nyumba ya mwenye kiburi; Bali atauthibitisha mpaka wa mjane.