Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:7 - Swahili Revised Union Version

7 Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.

Tazama sura Nakili




Methali 12:7
20 Marejeleo ya Msalaba  

Na nyumba yako, na ufalme wako, vitathibitishwa milele mbele yako. Nacho kiti chako kitaimarishwa milele.


Jina lako na litukuzwe milele, kwa kusema, BWANA wa majeshi ndiye Mungu juu ya Israeli; na nyumba ya mtumishi wako, Daudi, itaimarika mbele zako.


Mfalme akaamuru ifanyike vivyo hivyo, mbiu ikapigwa huko Susa, wakawatundika wale wana kumi wa Hamani.


Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Kwa sababu hiyo yeye huyatafiti matendo yao; Naye huwapindua usiku, wakaangamia.


Maana bado kitambo kidogo asiye haki hatakuwapo, Utapaangalia mahali pake wala hatakuwapo.


Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.


Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka.


Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.


Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.


Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa.


BWANA ataing'oa nyumba ya mwenye kiburi; Bali atauthibitisha mpaka wa mjane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo