Methali 12:7 - Swahili Revised Union Version7 Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama. Tazama sura |