Methali 12:6 - Swahili Revised Union Version6 Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa. Tazama sura |