Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:6 - Swahili Revised Union Version

6 Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa.

Tazama sura Nakili




Methali 12:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mawazo ya mwenye haki ni adili; Bali mashauri ya mtu mwovu ni hadaa.


Katika kinywa cha mpumbavu mna fimbo ya kiburi, Bali midomo ya wenye hekima huwahifadhi.


Miguu yao hukimbilia mabaya, nao hufanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia; mawazo yao ni mawazo ya uovu; ukiwa na uharibifu zaonekana katika njia zao kuu.


Maana katika watu wangu wameonekana watu waovu; huvizia kama vile watu wategao mitego; hutega mtego, na kunasa watu.


Kulipopambazuka, Wayahudi wakafanya mapatano, wakajifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala hawatakunywa hadi wamwue Paulo.


Basi sasa ninyi pamoja na wazee wa baraza mwambieni jemadari amlete chini kwenu, kana kwamba mnataka kujua habari zake vizuri zaidi; na sisi tuko tayari kumwua kabla hajakaribia.


na kumwomba fadhili juu yake, kwamba atoe amri aletwe Yerusalemu, wapate kumwotea na kumwua njiani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo