Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 10:25 - Swahili Revised Union Version

25 Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Kimbunga hupita na mwovu hutoweka, lakini mwadilifu huimarishwa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Kimbunga hupita na mwovu hutoweka, lakini mwadilifu huimarishwa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Kimbunga hupita na mwovu hutoweka, lakini mwadilifu huimarishwa milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Tufani inapopita, waovu hutoweka, lakini wenye haki husimama imara milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Tufani inapopita, waovu hutoweka, lakini wenye haki husimama imara milele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.

Tazama sura Nakili




Methali 10:25
20 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mwenye haki ataishika njia yake, Naye mwenye mikono safi atazidi kupata nguvu.


Ataruka mfano wa ndoto, asionekane; Naam, atafukuzwa kama maono ya usiku,


Ili wawe kama mabua makavu mbele ya upepo, Kama makapi yaliyochukuliwa na dhoruba?


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


Asiyetoa fedha yake apate kula riba, Asiyepokea rushwa amwangamize asiye na hatia. Mtu atendaye mambo hayo Hataondoshwa milele.


Mwenye haki atafurahi akionapo kisasi; Ataiosha miguu yake katika damu ya wasio haki.


Kabla ya masufuria yenu kupata moto wa miiba, Ataipeperusha kama chamchela, Iliyo mibichi na iliyo moto.


Hofu yenu ifikapo kama tufani, Na msiba wenu ufikapo kama kisulisuli, Dhiki na taabu zitakapowafikia.


Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.


Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe.


Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.


Naam, hawakupandwa; hawakutiwa katika ardhi kama mbegu; naam, shina lao halikutia mizizi katika ardhi; tena awapuzia tu, wakanyauka, upepo wa kisulisuli wawaondoa kama mabua makavu.


Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.


huku wakijiwekea akiba iwe msingi mzuri kwa wakati ujao, ili wapate uzima ulio kweli kweli.


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye mhuri huu, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila aliitaye jina la Bwana na auache uovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo