Methali 14:11 - Swahili Revised Union Version11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Nyumba ya mwovu itaangamizwa, bali hema la mnyofu litastawi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Nyumba ya mwovu itaangamizwa, bali hema la mnyofu litastawi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa. Tazama sura |