Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:11 - Swahili Revised Union Version

11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Nyumba ya mwovu itaangamizwa, bali hema la mnyofu litastawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Nyumba ya mwovu itaangamizwa, bali hema la mnyofu litastawi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa.

Tazama sura Nakili




Methali 14:11
21 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa jamii ya hao wasiomcha Mungu watakuwa tasa, Na moto utateketeza mahema yenye rushwa.


Hakika ndivyo yalivyo makazi ya wapotovu, Na hapa ni mahali pake asiyemjua Mungu.


Kwa kuwa mwasema, Nyumba ya huyo mkuu i wapi? Na hema waliyoikaa hao waovu iko wapi?


Ataitegemea nyumba yake, isisimame; Atashikamana nayo, isidumu.


Hao wakuchukiao watavikwa aibu; Nayo hema yake mwovu haitakuwako tena.


Ikiwa wewe u safi na mwelekevu; Hakika yeye sasa angeamka kwa ajili yako, Na kuyafanya makazi ya haki yako kufanikiwa.


Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao, Katika nyumba yako. Wanao watakuwa kama miche ya mizeituni Wakiizunguka meza yako.


Maana bado kitambo kidogo asiye haki hatakuwapo, Utapaangalia mahali pake wala hatakuwapo.


Azitegemeaye mali zake ataanguka; Mwenye haki atasitawi kama jani.


Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.


BWANA ataing'oa nyumba ya mwenye kiburi; Bali atauthibitisha mpaka wa mjane.


Mwenye haki huitafakari nyumba ya mtu mbaya; Jinsi wabaya waangushwavyo wakaangamia.


Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.


Laana ya BWANA i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki.


Nitaituma itokee, asema BWANA wa majeshi, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi, na katika nyumba ya yeyote aapaye kwa uongo kwa jina langu; nayo itakaa katika nyumba yake, na kuiteketeza, pamoja na boriti zake na mawe yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo