Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:10 - Swahili Revised Union Version

10 Moyo huujua uchungu wa nafsi yake, Wala mgeni haishiriki furaha yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Moyo waujua uchungu wake wenyewe, wala mgeni hawezi kushiriki furaha yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Moyo waujua uchungu wake wenyewe, wala mgeni hawezi kushiriki furaha yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Moyo waujua uchungu wake wenyewe, wala mgeni hawezi kushiriki furaha yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kila moyo hujua uchungu wake wenyewe, wala hakuna yeyote awezaye kushiriki furaha yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kila moyo hujua uchungu wake wenyewe, wala hakuna yeyote awezaye kushiriki furaha yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Moyo huujua uchungu wa nafsi yake, Wala mgeni haishiriki furaha yake.

Tazama sura Nakili




Methali 14:10
20 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaambiana, Kweli sisi tulimkosea ndugu yetu, kwa kuwa tuliona shida ya roho yake, alipotusihi, wala hatukusikia, kwa hiyo shida hii imetupata.


Naye alipofika kwa yule mtu wa Mungu kilimani, alimshika miguu. Gehazi akakaribia amwondoe; lakini mtu wa Mungu akamwambia, Mwache; maana roho yake ndani yake ina uchungu; na BWANA amenificha, wala hakuniambia.


Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Mwingine hufa katika uchungu wa roho, Asionje mema kamwe.


Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitanena kwa mateso ya roho yangu; Nitalia kwa uchungu wa nafsi yangu.


Haniachi nipate kuvuta pumzi, Lakini hunijaza uchungu.


Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake.


Moyo wa furaha huchangamsha uso; Bali kwa huzuni ya moyo roho hupondeka.


Roho ya mtu itastahimili udhaifu wake; Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?


Basi roho ikaniinua, ikanichukua mahali pengine; nami nikaenda kwa uchungu, na hasira kali rohoni mwangu, na mkono wa BWANA ulikuwa juu yangu kwa nguvu.


Sasa roho yangu imefadhaika; nami nisemeje? Baba, uniokoe katika saa hii? Lakini ni kwa ajili ya hayo nilivyoifikia saa hii.


Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.


Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.


Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.


Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamumwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu,


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Naye huyo mwanamke alikuwa na uchungu rohoni mwake, akamwomba BWANA akalia sana.


Hana akajibu, akasema, Hasha! Bwana wangu, mimi ni mwanamke mwenye roho ya huzuni, mimi sikunywa divai wala kileo, ila nimeimimina roho yangu mbele za BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo