Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:9 - Swahili Revised Union Version

9 Wapumbavu huidharau hatia; Bali upo upendeleo kwa wenye haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wapumbavu huchekelea dhambi, bali wanyofu hupata fadhili kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wapumbavu huchekelea dhambi, bali wanyofu hupata fadhili kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wapumbavu huchekelea dhambi, bali wanyofu hupata fadhili kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wapumbavu hudhihaki kujirekebisha kutoka dhambi, bali wema hupatikana miongoni mwa wanyofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wapumbavu hudhihaki kujirekebisha kutoka dhambi, bali wema hupatikana miongoni mwa wanyofu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Wapumbavu huidharau hatia; Bali upo upendeleo kwa wenye haki.

Tazama sura Nakili




Methali 14:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Kwa mpumbavu kutenda maovu ni kama mchezo; Bali mtu mwenye ufahamu ana hekima.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Mtu mwema atapata upendeleo kwa BWANA; Bali mtu wa hila atahukumiwa naye.


Ufahamu mwema huleta upendeleo; Bali njia ya muasi huangamiza.


Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema.


Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.


Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Lakini asipomweza mwana-kondoo, ndipo atakapomletea BWANA hua wawili, au makinda mawili ya njiwa, kuwa ni sadaka yake ya hatia ya jambo hilo alilolikosa; mmoja wa hao ndege kwa sadaka ya dhambi, na wa pili kwa sadaka ya kuteketezwa.


ya kwamba waliwaambia ya kuwa, Wakati wa mwisho watakuwako watu wenye kudhihaki, wakizifuata tamaa za upotevu wao wenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo