Methali 11:21 - Swahili Revised Union Version21 Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Hakika mwovu hataepa kuadhibiwa, lakini waadilifu wataokolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Hakika mwovu hataepa kuadhibiwa, lakini waadilifu wataokolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Hakika mwovu hataepa kuadhibiwa, lakini waadilifu wataokolewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa, bali wenye haki watakuwa huru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa, bali wenye haki watakuwa huru. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazao wa wenye haki wataokoka. Tazama sura |