Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:21 - Swahili Revised Union Version

21 Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Hakika mwovu hataepa kuadhibiwa, lakini waadilifu wataokolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Hakika mwovu hataepa kuadhibiwa, lakini waadilifu wataokolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Hakika mwovu hataepa kuadhibiwa, lakini waadilifu wataokolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa, bali wenye haki watakuwa huru.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa, bali wenye haki watakuwa huru.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazao wa wenye haki wataokoka.

Tazama sura Nakili




Methali 11:21
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini umejaa hukumu ya waovu; Hukumu na haki hukushika.


Mchana kutwa hufadhili na kukopesha, Na mzao wake hubarikiwa.


Usiwafuate walio wengi kutenda uovu; wala usitie ushahidi wako katika neno lolote kwa kugeukia kando na kuandamana na mkutano ili kupotoa hukumu;


Jitenge mbali na neno la uongo; wala wasio hatia na wenye haki usiwaue; kwa kuwa mimi sitamhesabia haki yeye aliye mwovu.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Ndivyo alivyo mwanamke mzuri asiye na akili.


Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya.


Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.


Kila mwenye moyo wa kiburi ni chukizo kwa BWANA; Hakika, hatakosa adhabu.


Mimi sina hasira ndani yangu; Kama mbigili na miiba ingekuwa mbele zangu, Ningepanga vita juu yake, Ningeiteketeza yote pamoja.


nami nitawapa moyo mmoja na njia moja, wapate kunicha sikuzote; kwa mema yao, na ya watoto wao baada yao;


Ndipo watu wote waliojua ya kuwa wake zao waliwafukizia uvumba miungu mingine, na wanawake wote waliosimama karibu, mkutano mkubwa, yaani, watu wote waliokaa katika nchi ya Misri, katika Pathrosi, wakamjibu Yeremia, wakisema,


Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo