Methali 11:20 - Swahili Revised Union Version20 Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Wenye nia mbaya ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini wenye mwenendo mwema ni furaha yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Wenye nia mbaya ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini wenye mwenendo mwema ni furaha yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Wenye nia mbaya ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini wenye mwenendo mwema ni furaha yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Mwenyezi Mungu huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu, bali hupendezwa na wale ambao njia zao hazina lawama. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 bwana huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu, bali hupendezwa na wale ambao njia zao hazina lawama. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza. Tazama sura |