Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:11 - Swahili Revised Union Version

Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uhai, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uhai, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uhai, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:11
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wanyofu wa moyo wanaona na kufurahi, Na waovu wote wananyamazishwa.


Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.


Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.


Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.


Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Maneno ya kinywa cha mtu ni kama maji ya vilindi; Kijito kibubujikacho; chemchemi ya hekima.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.