Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 10:32 - Swahili Revised Union Version

32 Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Midomo ya wenye haki hujua kile chenye kibali, bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa, bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.

Tazama sura Nakili




Methali 10:32
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mji hutukuzwa kwa mbaraka wa mwenye haki; Bali mji hupinduliwa kwa kinywa cha mwovu.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa.


Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.


Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.


Ili kukuokoa na njia ya uovu, Na watu wanenao yaliyopotoka;


Jiepushe na kinywa cha ujeuri, Na midomo ya upotovu uiweke mbali nawe.


Mtu asiyefaa kitu, mtu wa uovu; Huenda njiani mwenye kinywa cha upotovu.


Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.


Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.


Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; uache dhambi zako kwa kutenda haki, uache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za fanaka.


na maneno yafaayo yasiyoweza kuhukumiwa makosa, ili yule mwenye kupinga atahayarike, kwa kuwa hana neno baya la kunena juu yetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo