Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:4 - Swahili Revised Union Version

4 Maneno ya kinywa cha mtu ni kama maji ya vilindi; Kijito kibubujikacho; chemchemi ya hekima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Maneno yaweza kuwa chemchemi ya hekima; yenye kilindi kama bahari, kama kijito kinachobubujika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Maneno yaweza kuwa chemchemi ya hekima; yenye kilindi kama bahari, kama kijito kinachobubujika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Maneno yaweza kuwa chemchemi ya hekima; yenye kilindi kama bahari, kama kijito kinachobubujika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji, bali chemchemi ya hekima ni kijito kinachobubujika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji, bali chemchemi ya hekima ni kijito kinachobubujika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Maneno ya kinywa cha mtu ni kama maji ya vilindi; Kijito kibubujikacho; chemchemi ya hekima.

Tazama sura Nakili




Methali 18:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,


Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.


Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake aliye nao; Bali kufundishwa kwa wapumbavu ni upuzi wao.


Ajapo asiye haki, huja dharau pia; Na pamoja na aibu huja lawama.


Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.


Enyi wazawa wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolezwa chumvi, ili mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo