Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 13:14 - Swahili Revised Union Version

14 Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Mafundisho ya wenye hekima ni chemchemi ya uhai; humwezesha mtu kuiepa mitego ya kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Mafundisho ya wenye hekima ni chemchemi ya uhai; humwezesha mtu kuiepa mitego ya kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Mafundisho ya wenye hekima ni chemchemi ya uhai; humwezesha mtu kuiepa mitego ya kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima, ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima, ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.

Tazama sura Nakili




Methali 13:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Nilipata dhiki na mateso;


Kamba za kuzimu zilinizunguka, Mitego ya mauti ikanikabili.


Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,


Kumcha BWANA ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.


Kwa mtu mwenye akili njia ya uhai huenda juu; Ili atoke katika kuzimu chini.


Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.


Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake aliye nao; Bali kufundishwa kwa wapumbavu ni upuzi wao.


Kwa rehema na kweli uovu husafishwa; Kwa kumcha BWANA watu hujiepusha na maovu.


Maana, kwa msaada wangu siku zako zitazidishwa; Na miaka ya maisha yako itaongezwa.


na ibarikiwe busara yako, na ubarikiwe wewe, uliyenizuia hivi leo nisimwage damu, wala kujilipiza kisasi kwa mkono wangu mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo