Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:15 - Swahili Revised Union Version

15 Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kuna dhahabu na wingi wa mawe ya thamani kubwa; lakini cha thamani kubwa zaidi ni maneno ya busara!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kuna dhahabu na wingi wa mawe ya thamani kubwa; lakini cha thamani kubwa zaidi ni maneno ya busara!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kuna dhahabu na wingi wa mawe ya thamani kubwa; lakini cha thamani kubwa zaidi ni maneno ya busara!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kuna dhahabu, na marijani kwa wingi, lakini midomo inayonena maarifa ni kito cha thamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi, lakini midomo inenayo maarifa ni kito cha thamani kilicho adimu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.

Tazama sura Nakili




Methali 20:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Aliye na hekima moyoni ataitwa mwenye busara; Utamu wa maneno huongeza elimu.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.


Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.


Kipuli cha dhahabu, na pambo la dhahabu safi; Ndivyo alivyo mwonyaji mwenye hekima kwa sikio lisikialo.


Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.


Upate kuilinda busara, Na midomo yako iyahifadhi maarifa.


Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi.


Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo