Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:14 - Swahili Revised Union Version

14 Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 “Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 “Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 “Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 “Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 “Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.

Tazama sura Nakili




Methali 20:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Je! Kuna jambo lolote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi.


Majira yamewadia, siku ile inakaribia; huyo anunuaye asifurahi, wala asihuzunike auzaye; maana ghadhabu imewapata watu wote.


Mtu asimpunje ndugu yake wala kumkosea katika jambo hili; kwa sababu Bwana ndiye alipizaye kisasi cha haya yote; kama tulivyowaambia kwanza, tukashuhudia sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo