Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:1 - Swahili Revised Union Version

Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hizi ni methali za Solomoni: Mtoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake; lakini mtoto mpumbavu ni huzuni ya mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hizi ni methali za Solomoni: Mtoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake; lakini mtoto mpumbavu ni huzuni ya mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hizi ni methali za Solomoni: Mtoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake; lakini mtoto mpumbavu ni huzuni ya mama yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mithali za Sulemani: Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, lakini mwana mpumbavu huleta huzuni kwa mama yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mithali za Sulemani: Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, lakini mwana mpumbavu huleta huzuni kwa mama yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akanena mifano elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.


Mithali za Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.


Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.


Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.


Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima.


Hizi nazo ni mithali za Sulemani, ambazo watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda, walizinakili.


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.


Mrudi mwanao naye atakustarehesha; Naam, atakufurahisha nafsi yako.


Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.


Lakini, kwa sababu huyo Mhubiri alikuwa na hekima, aliendelea kuwafundisha watu maarifa, naam, akatafakari, akachunguza, akatunga mithali nyingi.


Naye ni nani ajuaye kama huyo atakuwa mwenye hekima au mpumbavu? Hata hivyo atatawala juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo, ambamo ndani yake mimi nimeonesha hekima chini ya jua. Hayo nayo ni ubatili.