Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:21 - Swahili Revised Union Version

21 Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni; hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni; hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura Nakili




Methali 17:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.


Naye mfalme akataabika sana, akapanda juu, akaingia kile chumba kilichokuwa juu ya lango, akalia; na katika kwenda kwake alisema hivi, Mwanangu Absalomu! Ee mwanangu! Mwanangu Absalomu! Laiti ningalikufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu!


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.


Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima.


Nami niliwaandikia neno lilo hilo, ili nijapo nisitiwe huzuni na wale ambao ilinipasa kuwafurahia; nikiwatumaini ninyi nyote kwamba furaha yangu ni yenu nyote pia.


Sina furaha iliyo kuu kuliko hii, kusikia ya kwamba watoto wangu wanakwenda katika kweli.


Ila wanawe hawakuenda katika njia zake, bali waliziacha, ili wapate faida; wakapokea rushwa, na kupotosha hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo