Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:20 - Swahili Revised Union Version

20 Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa; naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa; naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.

Tazama sura Nakili




Methali 17:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.


Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.


Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima; Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA, Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo