Methali 17:20 - Swahili Revised Union Version20 Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa; naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa; naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba. Tazama sura |