Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:19 - Swahili Revised Union Version

19 Apendaye ugomvi hupenda dhambi; Auinuaye sana mlango wake hutafuta uharibifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Anayependa ugomvi anapenda dhambi; anayejigamba anajitafutia maangamizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Anayependa ugomvi anapenda dhambi; anayejigamba anajitafutia maangamizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Anayependa ugomvi anapenda dhambi; anayejigamba anajitafutia maangamizi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Yeye apendaye ugomvi apenda dhambi; naye ainuaye sana lango lake hutafuta uharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Yeye apendaye ugomvi apenda dhambi; naye ainuaye sana lango lake hutafuta uharibifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Apendaye ugomvi hupenda dhambi; Auinuaye sana mlango wake hutafuta uharibifu.

Tazama sura Nakili




Methali 17:19
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya hayo, Absalomu akajiwekea tayari gari na farasi, na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.


Ndipo Adonia mwana wa Hagithi akatakabari, akasema, Mimi nitakuwa mfalme. Akajiwekea tayari magari na wapanda farasi, na watu hamsini wapige mbio mbele yake.


Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.


Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika.


Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.


Tengeneza kazi yako huko nje, Jifanyizie kazi yako tayari shambani, Ukiisha, jenga nyumba yako.


Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.


Maana nachelea, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekana kwenu si kama vile mtakavyo; nisije nikakuta labda fitina na wivu, na ghadhabu, na ugomvi, na masingizio, na manong'onezo, na majivuno, na ghasia;


kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo