Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:18 - Swahili Revised Union Version

18 Asiye na hekima hupeana mkono na mtu; Na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Si jambo la akili kuweka rehani, na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Si jambo la akili kuweka rehani, na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Si jambo la akili kuweka rehani, na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Mtu mjinga huutoa mkono ili kuweka rehani, naye huweka dhamana kwa jirani yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani, naye huweka dhamana kwa jirani yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Asiye na hekima hupeana mkono na mtu; Na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.

Tazama sura Nakili




Methali 17:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Amdhaminiye mgeni hakosi ataumia; Achukiaye mambo ya dhamana yuko salama.


Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.


Yeye awaoneaye maskini ili kuongeza mapato, Naye ampaye tajiri, hupata hasara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo