Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:25 - Swahili Revised Union Version

25 Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake mzazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake mzazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake mzazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake na uchungu kwa yeye aliyemzaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake na uchungu kwa yeye aliyemzaa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.

Tazama sura Nakili




Methali 17:25
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Yoabu akaambiwa, Angalia, mfalme anamlilia Absalomu na kumwombolezea.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.


Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima.


Na wafurahi baba yako na mama yako; Na afurahi aliyekuzaa.


Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo