Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:26 - Swahili Revised Union Version

26 Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri; Wala si vyema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri; Wala si vyema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao.

Tazama sura Nakili




Methali 17:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

La hasha! Usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha! Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?


Basi sasa, ondoka, utoke nje, ukaseme na watumishi wako maneno ya kuwatuliza roho zao; maana mimi nakuapia kwa BWANA, usipotoka, hatabaki hata mtu mmoja pamoja nawe usiku huu; na mambo haya yatakuwa mabaya kwako kuliko mabaya yote yaliyokupata tokea ujana wako hadi sasa.


Nami leo nimedhoofika, hata nijapotiwa mafuta niwe mfalme; na watu hao, wana wa Seruya, ni wagumu kwangu mimi; BWANA amlipie mwovu kulingana na uovu wake.


Yeye asemaye kwamba asiye haki ana haki; naye asemaye kwamba mwenye haki hana haki; Hao wote wawili ni chukizo kwa BWANA.


Kukubali uso wake asiye haki si vizuri; Wala kumpotosha mwenye haki hukumuni.


Sasa utajikusanya vikosi vikosi, Ee binti wa vikosi; yeye amemhusuru; watampiga mwamuzi wa Israeli shavuni mwake kwa fimbo.


Basi aliposema hayo, mtumishi mmojawapo aliyesimama karibu alimpiga Yesu kofi akisema, Wamjibu hivi Kuhani Mkuu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo