Methali 17:26 - Swahili Revised Union Version26 Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri; Wala si vyema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI26 Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri; Wala si vyema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao. Tazama sura |