Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:27 - Swahili Revised Union Version

27 Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Asiyesema sana ana maarifa; mtu mtulivu ni mwenye busara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Asiyesema sana ana maarifa; mtu mtulivu ni mwenye busara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Asiyesema sana ana maarifa; mtu mtulivu ni mwenye busara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia, naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia, naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara.

Tazama sura Nakili




Methali 17:27
8 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.


Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.


Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.


Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.


Maneno ya wenye hekima yanenwayo taratibu husikiwa, Zaidi ya mlio wake atawalaye katikati ya wapumbavu.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.


Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo