Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 29:3 - Swahili Revised Union Version

3 Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Apendaye hekima humfurahisha baba yake; lakini aandamanaye na malaya hufuja mali yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Apendaye hekima humfurahisha baba yake; lakini aandamanaye na malaya hufuja mali yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Apendaye hekima humfurahisha baba yake; lakini aandamanaye na malaya hufuja mali yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.

Tazama sura Nakili




Methali 29:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye mvinyo na mafuta hatakuwa tajiri.


Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.


Mwanangu, kama moyo wako una hekima, Moyo wangu utafurahi, naam, moyo wangu;


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.


Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.


Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani


Na baada ya siku zisizokuwa nyingi, yule mdogo akakusanya vyote, akasafiri kwenda nchi ya mbali; akatapanya mali zake huko kwa maisha ya uasherati.


lakini, alipokuja huyu mwana wako aliyekula vitu vyako pamoja na makahaba, umemchinjia yeye ndama aliyenona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo