Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 27:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Uwe na hekima mwanangu upate kunifurahisha moyo, nami sitakosa la kumjibu yeyote anayenilaumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Uwe na hekima mwanangu upate kunifurahisha moyo, nami sitakosa la kumjibu yeyote anayenilaumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Uwe na hekima mwanangu upate kunifurahisha moyo, nami sitakosa la kumjibu yeyote anayenilaumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mwanangu, uwe na hekima, nawe ulete furaha moyoni mwangu, ndipo nitakapoweza kumjibu yeyote anitendaye kwa dharau.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mwanangu, uwe na hekima, nawe ulete furaha moyoni mwangu, ndipo nitakapoweza kumjibu yeyote anitendaye kwa dharau.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.

Tazama sura Nakili




Methali 27:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitamjibu neno anilaumuye, Kwa maana nilitumainia neno lako.


Na sasa, enyi wafalme, iweni na hekima, Enyi watawala wa dunia, mwaonywa.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.


Maana nilikuwa na furaha nyingi na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa kuwa mioyo ya watakatifu imeburudishwa nawe, ndugu yangu.


Nilifurahi mno kwa kuwa nimewaona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile tulivyopokea amri kwa Baba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo