Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 19:13 - Swahili Revised Union Version

Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtoto mpumbavu ni balaa kwa baba yake; na ugomvi wa mke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtoto mpumbavu ni balaa kwa baba yake; na ugomvi wa mke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtoto mpumbavu ni balaa kwa baba yake; na ugomvi wa mke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye, naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye, naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 19:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Maji mengi huyapunguza mawe; Mafuriko yake huuchukua mchanga wa nchi; Nawe matumaini ya wanadamu wayaangamiza.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Rafiki hupenda sikuzote; Na ndugu amezaliwa kwa siku ya taabu.


Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.


Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.


Ni afadhali kukaa katika nchi ya nyika; Kuliko na mwanamke mgomvi, mchokozi.


Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.


Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.


Matone daima kudondoka siku ya mvua nyingi, Na mwanamke mgomvi ni sawasawa;