Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 19:11 - Swahili Revised Union Version

Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye busara hakasiriki upesi; kusamehe makosa ni fahari kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye busara hakasiriki upesi; kusamehe makosa ni fahari kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye busara hakasiriki upesi; kusamehe makosa ni fahari kwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hekima ya mtu humpa uvumilivu, ni kwa utukufu wake kusamehe makosa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hekima ya mtu humpa uvumilivu, ni kwa utukufu wake kusamehe makosa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 19:11
19 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora kuliko maji yote ya Israeli? Je! Siwezi kujiosha ndani yake, na kuwa safi? Akageuka, akaondoka kwa hasira.


Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.


Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.


Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika.


Usiseme, Mimi nitalipa mabaya; Mngojee BWANA, naye atakuokoa.


Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.


Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa;


Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.


tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane kama Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;