Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 29:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mpumbavu huonesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura Nakili




Methali 29:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.


Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.


Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo