Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:13 - Swahili Revised Union Version

13 Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Apitapitaye akichongea hutoa siri, lakini anayeaminika rohoni huficha siri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Apitapitaye akichongea hutoa siri, lakini anayeaminika rohoni huficha siri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Apitapitaye akichongea hutoa siri, lakini anayeaminika rohoni huficha siri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Masengenyo husaliti uaminifu, bali mtu mwaminifu hutunza siri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Masengenyo husaliti tumaini, bali mtu mwaminifu hutunza siri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.

Tazama sura Nakili




Methali 11:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.


Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.


Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.


Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.


Ujitetee na mwenzako peke yake; Bali usiifunue siri ya mtu mwingine;


Ndipo wakuu wakamwendea Yeremia, wakamwuliza; naye akawaambia sawasawa na maneno aliyoamriwa na mfalme. Basi wakaacha kunena naye; maana neno lile halikujulikana.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.


Tena, pamoja na hayo, hujifunza kuwa wavivu, wakizungukazunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi na wadadisi, wakinena maneno yasiyowapasa.


Wale wanaume wakamwambia, Tutautoa uhai wetu badala ya uhai wenu, ikiwa hamwitangazi habari ya shughuli yetu hii; kisha itakuwa, wakati BWANA atakapotupa nchi hii, tutakutendea kwa hisani na uaminifu.


Lakini wewe ukitangaza habari yetu hii, ndipo tutakuwa hatuna hatia, katika kiapo hiki ulichotuapisha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo