Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:32 - Swahili Revised Union Version

32 Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwenye nguvu; aitawalaye nafsi yake ni bora kuliko autekaye mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwenye nguvu; aitawalaye nafsi yake ni bora kuliko autekaye mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwenye nguvu; aitawalaye nafsi yake ni bora kuliko autekaye mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa, mtu anayeitawala hasira yake kuliko yule autekaye mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa, mtu anayeitawala hasira yake kuliko yule autekaye mji.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.

Tazama sura Nakili




Methali 16:32
16 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora kuliko maji yote ya Israeli? Je! Siwezi kujiosha ndani yake, na kuwa safi? Akageuka, akaondoka kwa hasira.


BWANA amejaa huruma na neema, Haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili.


Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Kura hutupwa katika mikunjo ya nguo; Lakini hukumu zake zote ni za BWANA.


Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.


Kwa uvumilivu mwingi mkuu husadikishwa; Na ulimi laini huvunja mfupa.


Asiyetawala roho yake Ni mfano wa mji uliobomolewa, usio na kuta.


Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.


Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.


Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.


Hivyo mwigeni Mungu, kama watoto wanaopendwa;


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Yeye ashindaye, nitamridhia kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo