Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:33 - Swahili Revised Union Version

33 Kura hutupwa katika mikunjo ya nguo; Lakini hukumu zake zote ni za BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Kura hupigwa kujua yatakayotukia, lakini uamuzi ni wake Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Kura hupigwa kujua yatakayotukia, lakini uamuzi ni wake Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Kura hupigwa kujua yatakayotukia, lakini uamuzi ni wake Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Kura hupigwa kwa siri, lakini kila uamuzi wake hutoka kwa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kura hupigwa kwa siri, lakini kila uamuzi wake hutoka kwa bwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Kura hutupwa katika mikunjo ya nguo; Lakini hukumu zake zote ni za BWANA.

Tazama sura Nakili




Methali 16:33
15 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, viongozi wa watu walikuwa wakikaa Yerusalemu; nao watu waliosalia wakapiga kura, ili katika watu kumi kumleta mmoja akae ndani ya Yerusalemu mji mtakatifu, na wale tisa wakae mijini.


Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.


Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu.


Watu wengi hutafuta upendeleo wa mkuu; Bali hukumu ya kila mtu hutoka kwa BWANA


Maana mfalme wa Babeli alisimama penye njia panda, penye kichwa cha njia hizo mbili, ili atumie uganga; aliitikisa mishale huku na huko, akaziuliza terafi, akayatazama maini.


Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi wawili; kura moja kwa ajili ya BWANA; na kura ya pili kwa ajili ya Azazeli.


Wakasemezana kila mtu na mwenzake, Haya, na tupige kura, tupate kujua mabaya haya yametupata kwa sababu ya nani. Basi wakapiga kura, nayo kura ikamwangukia Yona.


Wakawapigia kura; kura ikamwangukia Mathiya; naye akahesabiwa kuwa pamoja na mitume kumi na mmoja.


Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao hapo mbele za BWANA katika Shilo; huko Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli hiyo nchi sawasawa na mafungu yao.


Watu hao wataigawanya nchi iwe mafungu saba; Yuda atakaa katika mpaka wake huko upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu watakaa katika mpaka wao upande wa kaskazini.


Basi asubuhi mtaletwa karibu nami kabila kwa kabila; kisha itakuwa ya kwamba kabila ile atakayoitwaa BWANA itakaribia jamaa kwa jamaa; na jamaa ile atakayoitwaa BWANA itakaribia nyumba kwa nyumba; na nyumba ile atakayoitwaa BWANA itakaribia mtu kwa mtu.


Lakini jambo tutakalowatenda watu wa Gibea ni hili; tutakwea kuushambulia kwa kupiga kura;


lakini leo mmemkataa Mungu wenu, naye ndiye awaponyaye katika misiba yenu yote na shida zenu; nanyi mmemwambia, Sivyo, lakini weka mfalme juu yetu. Basi, sasa, njoni mbele za BWANA, kwa makabila yenu na kwa maelfu yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo