Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 18:2 - Swahili Revised Union Version

Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mpumbavu hapendezwi na busara; kwake cha maana ni maoni yake tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mpumbavu hapendezwi na busara; kwake cha maana ni maoni yake tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mpumbavu hapendezwi na busara; kwake cha maana ni maoni yake tu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpumbavu hafurahii ufahamu, bali hufurahia kutangaza maoni yake mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpumbavu hafurahii ufahamu, bali hufurahia kutangaza maoni yake mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 18:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Ajapo asiye haki, huja dharau pia; Na pamoja na aibu huja lawama.


Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.


Na tazama, mji wote ukatoka kwenda kumlaki Yesu; nao walipomwona, walimsihi aondoke katika nchi yao.


Vivyo hivyo na ninyi, kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu wenye karama za roho, jitahidini kusudi mzidi sana kuwa nazo ili kulijenga kanisa.


Na kuhusu vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; Twajua ya kuwa sisi sote tuna ujuzi. Ujuzi huleta majivuno, bali upendo hujenga.


Wengine wanahubiri habari za Kristo kwa sababu ya husuda na fitina; na wengine kwa nia njema.